Na Morin Rojas Dodoma Mtendaji Mkuu wa Mfuko wa Mawasiliano kwa Wote (UCSAF) Justina Mashiba amesema kuwa mfuko huo unatarajia kutumia shilingi 575,000,000 ,kwa ajili ya Mradi wa Kupeleka Vifaa Maalum vya TEHAMA vya Kujifunzia kwa Shule 16 Zenye watoto wenye mahitaji maalum hapa nchini.Bi Mashiba ameyasema hayo Februari 13,2023 Jijini Dodoma, wakati akielezea utekelezaji
Copy and paste this URL into your WordPress site to embed
Copy and paste this code into your site to embed